JARIBU kukumbuka kauli hii ya Oktoba 6, 2016 kutoka Mkuranga, mkoani Pwani: “Tena ndugu yangu… nitakupa eneo ulime miwa ili upate sukari ya viwandani na ya majumbani, tena nitakupa bure.” Huyo ni Rais ...
Wananchi wa Mkoa wa Tabora wametakiwa kuwa makini na matapeli wanaojifanya mawakala wa huduma za kifedha, kufuatia kukamatwa kwa watu watano wanaotuhumiwa kuhusika na wizi wa shilingi milioni 40 ...
MJUMBE wa Tume ya Uchunguzi wa ghasia wakati na baada ya uchaguzi, Prof. Ibrahim Juma, amesema katiba inasema wazi kwamba kila mtu anahaki ya kuwa na maoni na kwamba kuna watu ambao ndio wanataka ...
Wananchi wa Manispaa ya Morogoro wametakiwa kuendelea kutumia maji ya Bwawa la Mindu bila hofu, baada ya mamlaka husika kuthibitisha kuwa ubora wa maji haujaathirika kufuatia ajali ya lori lililomwaga ...
Baadhi ya wananchi wa kata za Wilaya ya Rungwe mkoani Mbeya wameendelea kukabiliwa na changamoto kubwa za kibinadamu kufuatia mafuriko na maporomoko ya ardhi yaliyotokea mwishoni mwa Machi 2026, baada ...
MWENYEKITI wa Tume ya Kuchunguza Matukio Wakati na Baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025, Jaji Mkuu Mstaafu Mohamed Chande Othman, amesema katika uchunguzi wao hawakutegemea sana ushahidi kutoka kwa ...
KILIO cha kikokotoo cha mafao ya wastaafu kimesikika, serikali imetangaza kuongeza mafao ya mkupuo baada ya kustaafu: Watumishi ambao ni wanachama wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma ...
Some results have been hidden because they may be inaccessible to you
Show inaccessible results